Msaada.....Msaada.........Msaa da kuhusu Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu [HESLB]

Sep 2, 2012
48
7
Ndugu zangu Wanajukwaa nilikuwa na hamu sana ya kuona mkopo umetoka kwa kuamini kuwa nitakuwa mmoja kati ya watu watakaobahatika kupata mkopo.Lakini baada ya kupitia majina ya watu waliopata mikopo naiona dunia chungu na kujiona kama mtu aliyetengwa na ulimwengu kwani ndoto zangu nilizozipanga kwa muda mrefu zimeyeyuka ndani ya dakika moja.Naomba kupewa msaada wa mambo makuu mawili kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo waliofikia elimu ya juu na wadau wengine wa elimu;

1.Je hayo yote ndiyo majina ya watu wote wa mwaka wa kwanza waliopatiwa mikopo?Au kuna majina mengine mengine yatatolewa?

2.Kama siridhiki na kitendo hicho cha kunyimwa mkopo ninaweza kukata rufaa na kushughulikiwa kabla ya tarehe za kufungua vyuo?Na taratibu za kukata rufaa huwa zinakuwaje?

Nitafuruhi sana endapo mtanisaidia kunipa maelezo ya maswali yangu katika kipindi hiki kigumu kilichonikuta katika maisha yangu.Mwenyezi Mungu awabariki.
 
However, he said, out of 29,113
successful applicants, the Board has
so far completed allocating the loans
to 28,454, and the rest, 659 applicants,
would receive them later after
mistakes in their applications. He said
the applicants have been given 14
days to make the corrections.

source: the citizen...
so kuna majina mengine yatatoka ila kama hutokuwepo tena waweza kukata rufaa...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom