Msaada: Mpenzi wangu wa zamani bado ananitaka

Sasa anajutia nini Baada ya kukuacha. Mara nyingi nasemaga wanawake ni tatizo sasa Maisha yamemchapa ndo anakukumbuka. Msamehe tu
 
Wrwe ni mtu mzima. Kama kusoma hujui, am sure picha ushaiona. Otherwise asante kwa kushea huu mkasa na pole kwa yaliyokukuta. Ni mambo ya kawaida hapa duniani.
 
We must be very careful when we give advice to younger people: sometimes they follow it!
 
we mwaka mzima wote huo na ana ujauzto bado unaamin unapendwa?
 
MAGUFULI BABA ENDELEE HIVYO HIVYO MPAKA WATU WAWE WANAONGEA PEKE YAO , SASA HUYU NAE KAJ KUOMBA USHAURI KWA UJINGA HUU ....NON SENSE
wewe ndo mjinga wa mwisho kwenye hii dunia, mpe ushauri kama uwezi kaaa kimya, unavyooneka ujamaliza darasa la saba
 
Wewe unatakaje ndio muhimu,furaha yako wewe ndio yetu........
 
She can be your friend,lakini kimapenzi usithubutu kumrudia utajuta.
 
Wameshakuloga tayari
hili nalo linakufanya uombe ushauri? Kwamba hujui ukatae au ukubali, ingekua ni mm ningekimbia mwondoko wa mwendokasi bila kugeuka nyuma hata urafiki sitaki
 
Reactions: irk
Ukitaka maambukizi mrudie.

Halafu kama wewe denti si utulizane umalize kwanza shule? Au ukimaliza six basi huhitaji kuwa prifesa. .......
ndio maana baada ya kuzinguana nilikaa single
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…