Msaada: Mpenzi wangu ananuka kinywa

Msaada: Mpenzi wangu ananuka kinywa

jimyjooo

Senior Member
Joined
Feb 2, 2017
Posts
129
Reaction score
66
Mwaka unaishia ila kunajambo linanikwaza hadi natamani nisiuvuke mwaka.
Jambo lenyewe nimedumu ktk mahusiano na binti ambaye Mungu ameonesha ufundi wake ila ANANUKA kinywa.
Je, nifanye nini tatizo liishe niendelee kufaidi utamu wke?
Nikimwacha naona km nakufuru uumbaji wa Mungu.
Wajuzi mnisaidie
 
Mwambie aache kukushika mike na kuimba aka kula koni ndo kunakosababisha harufu kali ya kinywa.

Tena kama na yeye ameanza kamchezo ka kukuramba mstari wa ikweta ati kwa dhumuni la kukupa mautamu mwambie aache kabisa ndo matokeo anakuwa kama kameza kipisi cha nnya.

Mautamu yote yako kwenye kaateerreeeroooo hapo mkimaliza wote mko chalii hooiiii asubuhi mnanyweshana maji tuu.

Kasie Matata.
 
Mwambie aache kukushika mike na kuimba aka kula koni ndo kunakosababisha harufu kali ya kinywa.

Tena kama na yeye ameanza kamchezo ka kukuramba mstari wa ikweta ati kwa dhumuni la kukupa mautamu mwambie aache kabisa ndo matokeo anakuwa kama kameza kipisi cha nnya.
.....

Eeh
 
Mkuu mimi natibu kunuka kwa kinywa na kunuka kwa papuchi
Swali langu kwako Je ananuka kinywa tuuu au hadi uko kwengine?
Dawa zipo za kumsaidia ni jibu umlete nimtibu...
 
Mwambie aache kukushika mike na kuimba aka kula koni ndo kunakosababisha harufu kali ya kinywa.

Tena kama na yeye ameanza kamchezo ka kukuramba mstari wa ikweta ati kwa dhumuni la kukupa mautamu mwambie aache kabisa ndo matokeo anakuwa kama kameza kipisi cha nnya.

Mautamu yote yako kwenye kaateerreeeroooo hapo mkimaliza wote mko chalii hooiiii asubuhi mnanyweshana maji tuu.

Kasie Matata.
SI KWELI
Hilo ni tatizo mtu anazaliwa nalo kama wale wanaonuka kikwapa wengine Pua nakadhalika.
 
Mpe mswaki mpya na dawa ya meno aswaki, msimamie aswaki vizuri.. Problem solved!!
 
Tatizo kubwa letu sisi Watanzania hatuendi kusafisha meno kwa dentists. Mara mbili kwa mwaka itasaidia kutoa ukungu wa meno na bacteria wa kinywa. Mkuu kama unampenda mpeleke akasafishe meno, mtoto mzuri hawachwi kwa kosa hilo.
 
Mwaka unaishia ila kunajambo linanikwaza hadi natamani nisiuvuke mwaka.
Jambo lenyewe nimedumu ktk mahusiano na binti ambaye Mungu ameonesha ufundi wake ila ANANUKA kinywa.
Je, nifanye nini tatizo liishe niendelee kufaidi utamu wke?
Nikimwacha naona km nakufuru uumbaji wa Mungu.
Wajuzi mnisaidie



Acha kumdhalilisha dada wa watu...achana nae,check dem mwingine ule maisha!

Huwezi pata kizuri 100%...compromise basi...

Check dem mwingine fasta acha kulia lia!
 
Mwaka unaishia ila kunajambo linanikwaza hadi natamani nisiuvuke mwaka.
Jambo lenyewe nimedumu ktk mahusiano na binti ambaye Mungu ameonesha ufundi wake ila ANANUKA kinywa.
Je, nifanye nini tatizo liishe niendelee kufaidi utamu wke?
Nikimwacha naona km nakufuru uumbaji wa Mungu.
Wajuzi mnisaidie
mkuu mtafutie dawa nzuri za meno haswa dawa ya meno ya alovera, pia nenda hosp pata taarifa kwa dokta then mpe dawa pasipo ye kujua dhumuni lako maana akijua atajisikia vibaya na itaathiri mahusiano yenu
 
Mungu hajaumba wanuka kinywaaa!!
Tatizo unaokota okotaa wanawake wa Tandika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom