Msaada: Moderm yangu ya airtel inanitesa

Msaada: Moderm yangu ya airtel inanitesa

DEWJI

Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
70
Reaction score
8
jaman naomba msaada wa hali na mali jinsi ya kuanloack moderm ya airtel model E173u-1 ili niweze kutumia katika mitandao yote yaani napata tabu sana naombeni msaada wenu
 
nenda google
downlod software inaitwa
DC UNLOCKER
 
jaman naomba msaada wa hali na mali jinsi ya kuanloack moderm ya airtel model E173u-1 ili niweze kutumia katika mitandao yote yaani napata tabu sana naombeni msaada wenu
pitia uzi wa zaman unaweza kupata, je hiyo modem yako imei yake ni seriea ya ngap 86 au 35
 
Back
Top Bottom