Wajameni nawezaje ku unlock modem za tigo na zantel? Coz nimejaribu na dc-unlock na software nyingne lakin wap! Wanasema zenyewe ni customized firmware. Msaada wanateknolojia!!!
Japo thread ni ya 2012 ila kwa sasa Modem za Zantel za 3G zinachakachulika kiulani tu kama E303 za Voda/TigoTigo una unlock lakini zantel awezekani kuna software nita kwambia pakuipata