Habari zenu,
Ndugu zangu, mnaombaje kwa Mungu mpaka mnapata baraka tele. Mimi binafsi kila ninachogusa mambo hayaendi, stress kila corner mpaka kuna wakati unatamani ujiwaishe tu mbinguni.
I am working really hard and sitamani kukataa tamaa zaidi.Naombeni ushauri huwa mnafanyaje fanyaje mambo yenu yaende poa.
Asante.
Habari zenu,
Ndugu zangu, mnaombaje kwa Mungu mpaka mnapata baraka tele. Mimi binafsi kila ninachogusa mambo hayaendi, stress kila corner mpaka kuna wakati unatamani ujiwaishe tu mbinguni.
I am working really hard and sitamani kukataa tamaa zaidi.Naombeni ushauri huwa mnafanyaje fanyaje mambo yenu yaende poa.
Asante.
Keep on praying, wakati wako waja...
Hujasema mambo gani Ila? Stress kila kona how?
Mfanowe me siku hizi Nina vihasira vya hapa na pale, kuna muda naona Kama sijielewi 😁 Ila najua 7bu. Kichupa kimejaa sana... Hebu check na huko kwanza u boost akili.
Asante sana nimekuelewaKwanza pole sana, pole sana kwa kuwa wewe unadhani wewe ndiye unayepitia changamoto ili hali binafsi nadhani si kweli!
Kuna watu wanapitia nyakati ngumu wala hawawezi kupata bando wakapost ulichofanikisha kupost hapa! Wewe unasmart na unaweza kuwa na bando, mshukuru Mungu!
Naomba nikwambie jambo, kuna usemi kuwa "makipo ni hapahapa duniani" au "apandacho mtu ndicho avunacho"!
Sasa, kuna watu wanapitia nyakati ngumu kwa kulipa matendo yao wenyewe ya nyuma, au ya wazazi ama wazee wake ambao walitenda yasiyofaa na wenyewe binafsi hawakukamilisha kulipa matendo hayo! Yaani kama utasadiki usemi wa malipo ni hapa hapa duniani, maana yake matendo yetu yote hulipwa hapahapa na matendo ya wema humlipa mtu wema vilevile, na ukitenda wema na hulipwi sawa sawa na wema wako, tambua upo katika orodha ya kulipa nakosa yaliyofanywa kwa generation yako hasa wazee wako hapo zamani na siku deni litakapoisha, taa ya kijani unakuwa upande wako!
Wengi tunapitia nyakati ngumu kwa matendo yetu ama ya wazee wetu magumu ya nyakati za nyuma! Tafakari na ubaini ukweli ktk hili nazungumza maana kanuni ni ile ile ukipanda uovu utavuna uovu pia, kama si wewe basi uzao wako! Na huo ndo msemo wa akipandacho mtu ndicho avunacho!
Endelea kutenda wema ipo siku utanufaika na wema huo lakini ikitokea hujanufaika wewe, basi uzao wako utanufaika na wema wako wa leo!
Tena niseme, hata uchukulie mambo kimasihara nisemayo haiondoi maana ya misemo hiyo niliyoitaja! Jiepushe na maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi wala usidhani kufanya mambo kwa kujifika machoni pa watu kutakuepusha na matokeo ya matendo yako!
Samahani usinielewe vibaya, natamani uelewe binafsi kwa nini unapitia nyakati ngumu na uanze safari ya kusafisha mapito yako na ya uzao wako!
Pia yapo matendo yaliyokosewa na wazee wako ambayo deni lake kulipika ni ngumu sana, tunaita laana! Kuichomoa laana ni mtihani ila zipo njia za kuifuta na usipoifuta leo, itawaandama pia uzao wako! Ipo mimea ukielekezwa namna ya kuitumia huondoa na kufuta laana! Lakini kwanza tafakari, unadhani kwa nini unapitia nyakati ngumu!
Niyo mengi ya kukueleza lakini naomba nitoe rai kuwa, ukiguswa na haya nisemayo, uliza swali lolote nitakuelekeza cha kufanya ili twende pamoja!
Mambo ya kiuchumi tuKeep on praying, wakati wako waja...
Hujasema mambo gani Ila? Stress kila kona how?
Mfanowe me siku hizi Nina vihasira vya hapa na pale, kuna muda naona Kama sijielewi [emoji16] Ila najua 7bu. Kichupa kimejaa sana... Hebu check na huko kwanza u boost akili.
Ndugu yangu nasali lakini wapi...Maisha tunayoishi katika ulimwengu wa mwili na nyama ni matokeo ktk ulimwengu wa roho!
Tengeneza maisha yako kuanzia ktk ulimwengu wa roho ili ktk ulimwengu wa nyama na mwili ufurahie!
Sasa unatengenezaje ktk ulimwengu wa roho? Mambo kadhaa ya kuzingatia yapo, karibu!
Habari zenu,
Ndugu zangu, mnaombaje kwa Mungu mpaka mnapata baraka tele. Mimi binafsi kila ninachogusa mambo hayaendi, stress kila corner mpaka kuna wakati unatamani ujiwaishe tu mbinguni.
I am working really hard and sitamani kukataa tamaa zaidi.Naombeni ushauri huwa mnafanyaje fanyaje mambo yenu yaende poa.
Asante.
Pole, unaijua vema background ya familia yako!?Ndugu yangu nasali lakini wapi...
Hii ndo njia sahihi kuliko zote , mzee nipe Mbinu hata Mimi Nataka niondoe laana za mababu na wazazi,Kwanza pole sana, pole sana kwa kuwa wewe unadhani wewe ndiye unayepitia changamoto ili hali binafsi nadhani si kweli!
Kuna watu wanapitia nyakati ngumu wala hawawezi kupata bando wakapost ulichofanikisha kupost hapa! Wewe unasmart na unaweza kuwa na bando, mshukuru Mungu!
Naomba nikwambie jambo, kuna usemi kuwa "makipo ni hapahapa duniani" au "apandacho mtu ndicho avunacho"!
Sasa, kuna watu wanapitia nyakati ngumu kwa kulipa matendo yao wenyewe ya nyuma, au ya wazazi ama wazee wake ambao walitenda yasiyofaa na wenyewe binafsi hawakukamilisha kulipa matendo hayo! Yaani kama utasadiki usemi wa malipo ni hapa hapa duniani, maana yake matendo yetu yote hulipwa hapahapa na matendo ya wema humlipa mtu wema vilevile, na ukitenda wema na hulipwi sawa sawa na wema wako, tambua upo katika orodha ya kulipa nakosa yaliyofanywa kwa generation yako hasa wazee wako hapo zamani na siku deni litakapoisha, taa ya kijani unakuwa upande wako!
Wengi tunapitia nyakati ngumu kwa matendo yetu ama ya wazee wetu magumu ya nyakati za nyuma! Tafakari na ubaini ukweli ktk hili nazungumza maana kanuni ni ile ile ukipanda uovu utavuna uovu pia, kama si wewe basi uzao wako! Na huo ndo msemo wa akipandacho mtu ndicho avunacho!
Endelea kutenda wema ipo siku utanufaika na wema huo lakini ikitokea hujanufaika wewe, basi uzao wako utanufaika na wema wako wa leo!
Tena niseme, hata uchukulie mambo kimasihara nisemayo haiondoi maana ya misemo hiyo niliyoitaja! Jiepushe na maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi wala usidhani kufanya mambo kwa kujifika machoni pa watu kutakuepusha na matokeo ya matendo yako!
Samahani usinielewe vibaya, natamani uelewe binafsi kwa nini unapitia nyakati ngumu na uanze safari ya kusafisha mapito yako na ya uzao wako!
Pia yapo matendo yaliyokosewa na wazee wako ambayo deni lake kulipika ni ngumu sana, tunaita laana! Kuichomoa laana ni mtihani ila zipo njia za kuifuta na usipoifuta leo, itawaandama pia uzao wako! Ipo mimea ukielekezwa namna ya kuitumia huondoa na kufuta laana! Lakini kwanza tafakari, unadhani kwa nini unapitia nyakati ngumu!
Niyo mengi ya kukueleza lakini naomba nitoe rai kuwa, ukiguswa na haya nisemayo, uliza swali lolote nitakuelekeza cha kufanya ili twende pamoja!
Nipe Mbinu na Mimi ndapokea ushauri wako na kuufanyia kazi, wahanga ni wengiMaisha tunayoishi katika ulimwengu wa mwili na nyama ni matokeo ktk ulimwengu wa roho!
Tengeneza maisha yako kuanzia ktk ulimwengu wa roho ili ktk ulimwengu wa nyama na mwili ufurahie!
Sasa unatengenezaje ktk ulimwengu wa roho? Mambo kadhaa ya kuzingatia yapo, karibu!