Vicin
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 676
- 295
Habarini wadau.
Awali ya yote ashukuriwe Mungu mwenye kutuwezesha yote.
Nashukuru Mungu nimepata chuo, mwanzo nilikuwa kwenye majina ya watu wenye matatizo, baadae udsm wakanichagua katika approved selection na wakasema kwamba waliopo kwenye hii list hawana haja ya kuconfirm, Mzumbe nawo wakanichagua katika approved selection. Kwahiyo sikuwa na option ya kuconfirm chuo chochote.
Jana nashukuru Mungu kanisaidia jina langu limetoka kwenye listi ya wanufaika wa mkopo.
Swali linakuja kwamba, mkopo wangu utatumwa chuo gani?
Mwenye msaada tafadhali anifahamishe.
Natanguliza shukrani zangu.
Awali ya yote ashukuriwe Mungu mwenye kutuwezesha yote.
Nashukuru Mungu nimepata chuo, mwanzo nilikuwa kwenye majina ya watu wenye matatizo, baadae udsm wakanichagua katika approved selection na wakasema kwamba waliopo kwenye hii list hawana haja ya kuconfirm, Mzumbe nawo wakanichagua katika approved selection. Kwahiyo sikuwa na option ya kuconfirm chuo chochote.
Jana nashukuru Mungu kanisaidia jina langu limetoka kwenye listi ya wanufaika wa mkopo.
Swali linakuja kwamba, mkopo wangu utatumwa chuo gani?
Mwenye msaada tafadhali anifahamishe.
Natanguliza shukrani zangu.