Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Ni wiki sasa tatizo linanikuta, japo tayari nimeshazungumza na mhudumu wa duka la madawa, lakini bado tatizo liko palepale!
Ninaposhtuka usiku, siuhisi mkono wangu wa kushoto (ni kama haupo kabisa), cha ajabu ninapo assume kuuinua juu, nauinua kwa haraka, akili inasoma kabisa kuwa mkono uko juu ingawaje ninapotazama juu nilikounyoosha mkono wangu, naona mkono apparent, kama maluwe luwe tu, ila mkono halisi unakuwa chini, tena umesinyaa kabisa! Na ninapojaribu kuushika kwa mkono wangu wa kulia, sihisi chochote, yaani inaonekana kama ni nyama tu ipo kitandani! Lakini muda huo nikiwa nimenyanyua mkono juu, ndipo huu mkono halisi unaanza kupatwa na ngazi (kuchoma choma) baadae unanyenyuka wenyewe kuja juu pasi na mimi kuuongoza!
Tukio la kuamkia leo ndo limenifanya kuandika huu uzi! Baada ya kushtuka usingizini, akili ika detect kuwa mkono haupo! Niliposhtuka kuutazama, kumbe nimeulalia, position yake ni kama mtu anaeweka mkono nyuma ya mgongo, lakini hapa nikaulalie kwa kuukandamiza na tumbo, kiganja kikatokeza upande wa pili wa ubavu! Baada ya kuuona, nikaunyoosha juu, ila mkono apparent (ninaouhisi) ukaja juu, lakini huu real ukagoma kabisa for about two minutes, nimehaha kuliko kawaida, nikataka kupiga makelele! Ndipo nikahisi vitu vinatoka begani kumwagika ndani ya mkono, ndipo mkono ukafa ganzi (ukachoma choma) ukaanza kuondoa ile kusinyaa, ukaufata mkono apparent ambao nimeunyoosha juu!
Siku za mwanzo nilidhani naota, lakini leo nimefanya reality test nimegundua inatokea real! Nahisi something is wrong! Ingawaje duka la madawa walinipa vijidonge lakini havisaidii kitu
Msaada tafadhari!
Ninaposhtuka usiku, siuhisi mkono wangu wa kushoto (ni kama haupo kabisa), cha ajabu ninapo assume kuuinua juu, nauinua kwa haraka, akili inasoma kabisa kuwa mkono uko juu ingawaje ninapotazama juu nilikounyoosha mkono wangu, naona mkono apparent, kama maluwe luwe tu, ila mkono halisi unakuwa chini, tena umesinyaa kabisa! Na ninapojaribu kuushika kwa mkono wangu wa kulia, sihisi chochote, yaani inaonekana kama ni nyama tu ipo kitandani! Lakini muda huo nikiwa nimenyanyua mkono juu, ndipo huu mkono halisi unaanza kupatwa na ngazi (kuchoma choma) baadae unanyenyuka wenyewe kuja juu pasi na mimi kuuongoza!
Tukio la kuamkia leo ndo limenifanya kuandika huu uzi! Baada ya kushtuka usingizini, akili ika detect kuwa mkono haupo! Niliposhtuka kuutazama, kumbe nimeulalia, position yake ni kama mtu anaeweka mkono nyuma ya mgongo, lakini hapa nikaulalie kwa kuukandamiza na tumbo, kiganja kikatokeza upande wa pili wa ubavu! Baada ya kuuona, nikaunyoosha juu, ila mkono apparent (ninaouhisi) ukaja juu, lakini huu real ukagoma kabisa for about two minutes, nimehaha kuliko kawaida, nikataka kupiga makelele! Ndipo nikahisi vitu vinatoka begani kumwagika ndani ya mkono, ndipo mkono ukafa ganzi (ukachoma choma) ukaanza kuondoa ile kusinyaa, ukaufata mkono apparent ambao nimeunyoosha juu!
Siku za mwanzo nilidhani naota, lakini leo nimefanya reality test nimegundua inatokea real! Nahisi something is wrong! Ingawaje duka la madawa walinipa vijidonge lakini havisaidii kitu
Msaada tafadhari!