beek
Member
- Sep 23, 2020
- 99
- 137
Mabibi na Bwana habarini, naimani mko wazima wa afya.
Naomba nisiwachoshe sana niende kwenye mada.
Mimi ni kijana wa miaka 34 nina watoto wawili ambao kila mtoto na mama yake ila huyu mke wa kwanza tuliachana.
Sasa kilicho nisababisha kuandika huu uzi ni huyu mke wa pili baada ya kujifungua tu mpaka leo ana mwaka na nusu hajaziona siku zake ilihali huyu mke wa kwanza baada ya kujifungua ulipita mwezi mmoja tu akaanza
SASA SWALI LANGU JE NINI KINACHOSABABISHA HIYO HALI?
Naomba nisiwachoshe sana niende kwenye mada.
Mimi ni kijana wa miaka 34 nina watoto wawili ambao kila mtoto na mama yake ila huyu mke wa kwanza tuliachana.
Sasa kilicho nisababisha kuandika huu uzi ni huyu mke wa pili baada ya kujifungua tu mpaka leo ana mwaka na nusu hajaziona siku zake ilihali huyu mke wa kwanza baada ya kujifungua ulipita mwezi mmoja tu akaanza
SASA SWALI LANGU JE NINI KINACHOSABABISHA HIYO HALI?