Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3 ya kiasi ulichoweka!
Je kuna yeyote mwenye uzoefu na hili au ni mbinu tu ya kuvuta visenti vyetu?
Natanguliza shukrani!