Msaada mitumba

Sarafina1

Senior Member
Mar 28, 2011
153
85
Wakuu habari,

Nataka nianze ujasiriamali, na ningependa kuuza nguo za mitumba za watoto. Sasa shida sijui mabel ya mitumba yanauzwa wapi dar/kariakoo na ningependa kuuza nguo first quality sio lonya. Naomba mnisaidie mahali naweza pata hiyo mitumba na ikiwezekana na bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom