Sarafina1
Senior Member
- Mar 28, 2011
- 153
- 85
Wakuu habari,
Nataka nianze ujasiriamali, na ningependa kuuza nguo za mitumba za watoto. Sasa shida sijui mabel ya mitumba yanauzwa wapi dar/kariakoo na ningependa kuuza nguo first quality sio lonya. Naomba mnisaidie mahali naweza pata hiyo mitumba na ikiwezekana na bei
Nataka nianze ujasiriamali, na ningependa kuuza nguo za mitumba za watoto. Sasa shida sijui mabel ya mitumba yanauzwa wapi dar/kariakoo na ningependa kuuza nguo first quality sio lonya. Naomba mnisaidie mahali naweza pata hiyo mitumba na ikiwezekana na bei