Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,017
- 94,056
Ndo matatizo ya kuzoea kudanganywa
Ndio raha ya kuwajua watu waongo...
Ndo matatizo ya kuzoea kudanganywa
We we we wazee wawe wewe labda km umechakaa sababu ya maisha. Otherwise you are still too young.Kwel8 mkuu?!! Najiona mzee
Wanataka wakuharibie mood yako tu!Hahahahhh sawa babe
Njoo pm nikupe namba ya rafiki yangu mmoja yupo Tanga... (Umri wake itakuwa 29 )Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Kama uko vizuri kifedha utapata🙏🏼Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Umri huo akitumia pesa kumpata mwanamke muda si mrefu atarudi na uzi mwingine hapaKama uko vizuri kifedha utapata🙏🏼
Naongezea kidogo hapo. Kuliko aende mbali Naona ni Bora achukuae huku huku Jamii forumKama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa
Yeah mchawi ni pesa tu iwe kijijin iwe mjini anapata na kama hataki stress zaid atafute wazee anaojuana nao vijijin kuwaomna kua anahitaj mke wazee waingie kazini wakiona ana maisha mazur na tabia njema atataftiwa mke wa chaguo łąkę manake mzazi akijua mtoto wake haendi kuhangaika njaa wala kipigo cha pombe basi wanakubal hata mume awe na umri unaofanana na waoUmri huo akitumia pesa kumpata mwanamke muda si mrefu atarudi na uzi mwingine hapa
Ukiitaji kuzaa unioneKama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa😆
Wewe tena😄Ukiitaji kuzaa unione
Ata leo, ni wewe tuWewe tena😄
Mkuu hilo kundi dogo unaloongelea na hiyo asilimia uliyoandika ni kwa wanawake wa dunia nzima au unamaanisha jamii gani, si kwamba wanawake tunatamani sana dunia ifike huko ila kwa asilimia kubwa wanaume wanajitakia wenyewe so tunaona acha wavune walichopanda, haiwezekani wewe ndio mlalamikaji halafu umuambie mwingine (ambaye halalamiki) abadilike kwa ajili yako ili wewe ufurahi ila ukiambiwa uanze kubadilika wewe hutakiMkuu,
Huenda itakuja kuwa unavyotamani, ila kwa ground sasa hivi bado sana. Wanawake ni tegemezi sana tu japo kuna kundi dogo sana(huenda Hata hivyo mimi nawatakia kila la heri, wazalishwe na kuachwa ili walee wenyewe, kama ndivyo wanaona bora kuishi.
Angalau huyu amekuwa mkweli..Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nenda bush huko tafuta binti.....uje nae town tena unaenda mburu huko.....unakuja unakula weeeeeeeee akijanjaruka .......unamwacha unatimba tena bush kubeba mwingine...
Yaani unakua kama gari la mkaa wakizengua tu wewe unaenda bush tena