Msaada mgongo unauma sana

Msaada mgongo unauma sana

hansluvanga

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
96
Reaction score
27
Wakuu habari zenu, naombeni msaada nimepima malaria, typhoid, UTI vyote cna ila mgongo unauma Sana hasa sehemu ya Kati kuja juu kwenye mabega...shida inaweza kua nn zaid? Na je nikifanyiwa massage tatizo linaweza pungua?

Msaada tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom