Jamaa "anamweka mkewe kwenye majaribu makubwa", akishawishiwa akashawishika kosa ni la mume.Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Honestly..Mkuu unapesa eeeh.
Mfano mimi kipato changu kwa mwezi laki mbili na nusu...hizo suti za 75000 wanangu watazisikia kwako mkuu.
Unamaanisha kweli hawezi kupata nguo za watoto kwa hela hio?!! Au unakusudia nini.Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Hajasema ni shopping ya nini! Inawezekana siyo ya nguo kama unavyofikiria wewe na nguo alishanunua. Wakati wa sikukuu watoto wanaweza kununuliwa vitu vya aina nyingi.Hivi 90,000 shopping ya mke na watoto wawili ananunua nini? Maana suti tu zile za bei chee ni 75,000, gauni la bei chee la mtoto ni 55,000 na nguo ya mke nadhani nguo ya maana si chini ya 80,000
Wanaume tujitahidi tusiwatie hasira hawa wake zetu, kama hali hairuhusu basi mzungumze muelewane kwanza lakini kwa hali halisi 90,000 kwa msimu huu wa sikukuu haiwezi nunua kitu
Wala usiwajibu hao. Tena anayefanya kebehi namna hiyo unaweza kukuta hajanunulia watoto wake chochote. Pia kuna watu wengine hawajui nguo wanunue wapi zaidi ya dukani. Kuna sehemu wanafungua mitumba ukiwahi saa alfajiri unanunua nguo za watoto za sh 7000 ambazo ukiitundika dukani unaweza kuuza sh laki moja.Hakuna binaadam mkamilifu ila ni vizur kila mtu akavaa viatu vinavyomtosha yy
Kushangaa pesa ya mtu 90k kama shopping ya watoto wake ni kuingilia mambo yasiyokuhusu kila mtu ana kipimo chake tuishi maisha yetu
NB. Nimempa mama watoto 20k ya nguo za watoto za sikukuu anaenda kununua za mtumba na amefurah maan ndo maisha yetu
Na ukiendelea hivi nakuhakikishia siku moja utaingia chumvini utakutana na maziwa ya mtindi ya mwanaume mwenzio yamekipamba kipochi manyoya.....Wazee mbona elfu 90 nyingi saana.
Au nyie wenzangu mnaishi wapi?
Bajeti.
1. Watoto
mashati mawili ya mitumba elfu @ 2500 hiyo elfu 5000.
Suruali mbili za mitumba @ 3000 hiyo elfu 6000.
Viatu vya kichina elfu tatutatu hiyo elfu 6000. Soksi tutanunua February wavae za shule.
Mama chupi ya mtumba mia 800
Dela la chrismas elfu 8000
Gauni la mwaka mpya ananunua kitenge cha elfu 8000 anakuja kushona gauni hapa mtaani kwa elfu 10000 hiyo elfu 18 000.
Mimi ananinunulia shati lile la kun'gaa sikuhizi yameshuka bei 6500.
Jumla 51 000
Nauli elfu 3000 kwenda na kurudi.
Jumla 54000.
Change 36000. Hii inaingia kwenye bajeti ya vyakula.
Apambane na hali yake. Sasa alitaka mkewe alie machozi ya damu ndiyo ajue kahuzunika?
Kuna chobis wanafungua mitumba alfajiri ukiwahi nguo ya sh elfu saba ukiipiga pasi na kuitunduka dukani unauza elfu hamsini tena kwa kuringa.Best yako mpuuzi na inaonekana muoneaji, mke ajutie kuibiwa, alitaka afanyeje, alie agaregare??
Huyo best yako ni mnyanyasaji yaani anamaindi vitu na mali coz anahudumia mkewe na watoto, ashukuru hawakudhurika wamerudi salama!
90,000 hela ndogo SANA, wangenunua nini?? Mahitaji gani?? Nguo na viatu vya watoto wangapi??
Jamaa yako inaonekana bahili SANA!
Everyday is Saturday................................😎
Kwa m2 m1 hyo enyew inategemea ananunua vazi la design gan, na quality ipi.Wewe shopping yako ya bei gani msimu huu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimecheka had mbavu zinauma, hapa watu wananshangaa tyuuuh.Wazee mbona elfu 90 nyingi saana.
Au nyie wenzangu mnaishi wapi?
Bajeti.
1. Watoto
mashati mawili ya mitumba elfu @ 2500 hiyo elfu 5000.
Suruali mbili za mitumba @ 3000 hiyo elfu 6000.
Viatu vya kichina elfu tatutatu hiyo elfu 6000. Soksi tutanunua February wavae za shule.
Mama chupi ya mtumba mia 800
Dela la chrismas elfu 8000
Gauni la mwaka mpya ananunua kitenge cha elfu 8000 anakuja kushona gauni hapa mtaani kwa elfu 10000 hiyo elfu 18 000.
Mimi ananinunulia shati lile la kun'gaa sikuhizi yameshuka bei 6500.
Jumla 51 000
Nauli elfu 3000 kwenda na kurudi.
Jumla 54000.
Change 36000. Hii inaingia kwenye bajeti ya vyakula.
Duuh...mkuu unabei saana..laki tatu yote hiyo.Kwa m2 m1 hyo enyew inategemea ananunua vazi la design gan, na quality ipi.
Kwangu me binafsi m 300k.
Ukimpa hiyo laki 3...si kuna wenye uwezo wa kumpa milioni mkuu?Na ukiendelea hivi nakuhakikishia siku moja utaingia chumvini utakutana na maziwa ya mtindi ya mwanaume mwenzio yamekipamba kipochi manyoya.....
Pichu ya mtumba??? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Vipato vinatofautiana jamani, si kila. Mtu ana uwezo mkubwa mdhaniavyo, naweza tumia 500k kwenye shopping na bado ikaonekana ni ndogo kwa yule mwenye uwezo zaidi,Hapa naungana na wee kabisaa
Hata km bhana, 90k shopping lol.Vipato vinatofautiana jamani, si kila. Mtu ana uwezo mkubwa mdhaniavyo, naweza tumia 500k kwenye shopping na bado ikaonekana ni ndogo kwa yule mwenye uwezo zaidi,
Cha kuangalia hapa ni hizo gubu zake na si kipato.
Wee bhana si msimu wa sikukuu tyuuuh, it means nilijichanga kwa mwaka mzima.Duuh...mkuu unabei saana..laki tatu yote hiyo.
Unajishughulisha na nini?
Mi sishangai kwasababu nimeona watu wanalipwa 40000 kwa mwezi na ana familia sasa piga hesabu huyu mtu anaishi vipi.Hata km bhana, 90k shopping lol.
Afu msimu wa sikukuu tena kkoo.