Msaada: Mganga maarufu wilayani Mbinga

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
373
Wanajamii kwa wa kazi wa Mbinga naulizia MGANGA maarufu au waganga maarufu wanaopatikana ktk wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma au yule anaeogopwa sana
 
nenda sehemu moja inaitwa
maguu
 
Wanajamii kwa wa kazi wa Mbinga naulizia MGANGA maarufu au waganga maarufu wanaopatikana ktk wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma au yule anaeogopwa sana
Kuna mchawi mmoja yupo huku Arusha anaitwa Mama Sakwanyaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…