Yuda Iscariot
Member
- Mar 2, 2017
- 71
- 161
Habarini waungwana.
Msaada wa mawazo tafadhali. Kama kuna mtu anayo, au anamfahamu mtu mwenye metal detector yenye uwezo wa ku-detect down to 50m deep anicheck tuongee nae.
Pia, kama kuna anayejua namna mbadala ambavyo location ya gold chini ya ardhi na uwingi wake vinaweza kuwa determined kabla ya kuanza kuchimba.
Na pia, kama kuna maabara ambayo ukiwapelekea miamba wanaweza soma geology ya eneo ilipotoka na kukupa taarifa sahihi za madini.
Natanguliza shukrani
Msaada wa mawazo tafadhali. Kama kuna mtu anayo, au anamfahamu mtu mwenye metal detector yenye uwezo wa ku-detect down to 50m deep anicheck tuongee nae.
Pia, kama kuna anayejua namna mbadala ambavyo location ya gold chini ya ardhi na uwingi wake vinaweza kuwa determined kabla ya kuanza kuchimba.
Na pia, kama kuna maabara ambayo ukiwapelekea miamba wanaweza soma geology ya eneo ilipotoka na kukupa taarifa sahihi za madini.
Natanguliza shukrani