john johns
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 113
- 64
Wakuu..kama inavyoonekana hapo kwenye heading ni kwamba juzi nilinunua sd card ya 16gb na kuiweka na kwenye cm then nikacopy mafile yangu frm internal memory to sd card ila baada ya muda kidogo yale mafile yote yalifutika(nyimbo na picha)..
Mtumiaji wa Techno W5 je tatizo ni nini kwa anaejua tafadhali.
M.K
Mtumiaji wa Techno W5 je tatizo ni nini kwa anaejua tafadhali.
M.K