Msaada: Mchepuo wa CBG Advance utasoma masomo mangapi jumla?

Msaada: Mchepuo wa CBG Advance utasoma masomo mangapi jumla?

Habari!! Naomba kujua katika mchepuo wa CBG huko advance utatakiwa kusoma masomo mangapi pamoja na combination yako?
e2e2c73e6b638bb5d86acbb87d3b6c39.jpg
 
kuna jamaa alisoma pcm...sasa hivi nafanya nae kazi za accounts..
 
Yani wewe hadi unamaliza 4m4 na unafaulu unabalance combination hujui 4m5 unasoma masomo mangapi. Pole mkuu.
 
Nakushauri, kama umefauli masomo ya sayansi vzr nenda kasome fan ya LABORATORY TECHN pale arusha tech au nenda kasome chuo kwa ngazi za chini then utaendelea baadae
ACHA KWENDA KUPOTEZA MUDA HUKO ADVANCE, hakuna lolote tatizo huko mnaenda kwa mihemko then mnachokipata nikutoka nje ya malengo
 
Back
Top Bottom