Msaada: Mchepuko umenipa gono, zinaa sasa basi


Mkuu Hilo Nimeahidi Kulizingatia.Kuanzia Sasa Sichezi Tena Peku.Labda Kwa Shemeji Yenu Tu Waukwe.E!
 
Muwe mnaviombea na kabla ya kuvila sio tuwafanyie maombi baada ya kuvla ili msiwe gridin
 
Pole.

At least wrap it up. Umechukua gono lile lingine kunwa lao nalo ukapime.

Afadhali naona watu wanaacha habari za "rafiki yangu kaniambia kapata gono".
 
nazingatia pipi na ganda itatoa ladha pole pole

Ongera Sana Mkuu Km Unalizingatia Hilo.Ila Naomb Unisamehe Sana.Jina Lako Nimeliandika Kwa Wino Mwekundu.Nilidhani Na Wewe Ni Mmoja Wa Wale Vichwa Ngumu.Wazee Wa Bora Liende Kama Kamanda Wangu Shy Land.Nachukua Nafasi Hii Kukutaka Radhi!
 
Marupurupu ya Uzinzi ni Magonjwa ya zinaa!! Nenda hospital...hakuna haja ya kuona aibu. The earlier the better. Pole mkuu
 
Ntashukuru Sana Mkuu Eve Kwa Maombi Na Ukemee Kweli.Ila Hiyo Ngoma Husipende Kuitajataja Sana.Si Unajua Kua Mdomo Unaumba??!

ungewahi maombi kabla ya.kutenda dhambi ushaangukia pua we nenda angaza tu ha ha ha
 
Ngoja Aje Mkuu Shy Land Anisaidie.Kama Katika Pitapita Zake Ameshawai Kujaribu Hii Kitu Ikafanya Kazi Vizuri

Unahangaika na huyu bwana MO11. subiri nikulete link ili umtambue vizuri
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…