Habari wadau.
Nmeona chuo cha IAA pale Dar campus na Arusha wanatoa hiyo course kwa mwaka mmoja wakishirikiana na Coventry University. Swali langu ni Je, hiyo masters degree inakubalika na kutambulika serikalini na kwenye mashirika binafsi coz nna mashaka hasa kutokana na kufanywa mwaka mmoja.
Thanks in Advance.
Nmeona chuo cha IAA pale Dar campus na Arusha wanatoa hiyo course kwa mwaka mmoja wakishirikiana na Coventry University. Swali langu ni Je, hiyo masters degree inakubalika na kutambulika serikalini na kwenye mashirika binafsi coz nna mashaka hasa kutokana na kufanywa mwaka mmoja.
Thanks in Advance.