GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Wadau nilienda Hydary plaza kupima macho,nikapewa miwani ya kusomea, Baada ya wiki miwani ilianguka na kioo
kikachomoka....nikaja kugundua kumbe ni plastic wameweka na sio kioo???
Hivi miwani ya kusomea wanaweka plastic na sio kioo???? Na kwa nini isiwe kioo??
Na kwa hapa Dar wapi ni Best kwa kupima macho???
kikachomoka....nikaja kugundua kumbe ni plastic wameweka na sio kioo???
Hivi miwani ya kusomea wanaweka plastic na sio kioo???? Na kwa nini isiwe kioo??
Na kwa hapa Dar wapi ni Best kwa kupima macho???