bishororo JF-Expert Member Feb 9, 2017 254 356 Nov 12, 2017 #1 Husika na kichwa cha habari, Ningependa kujua ni maswali gani mara nyingi huulizwa.
Maxmizer JF-Expert Member Aug 14, 2016 4,806 4,215 Nov 12, 2017 #2 unataka matango pori ngoja waje wakupe hints,ila usitegemee sana kama utaulizwa maswali sometime mnaweza mkapelekwa uwanjani mpige round 10
unataka matango pori ngoja waje wakupe hints,ila usitegemee sana kama utaulizwa maswali sometime mnaweza mkapelekwa uwanjani mpige round 10
mkisyeli JF-Expert Member May 6, 2013 260 76 Nov 13, 2017 #3 bishororo said: Husika na kichwa cha habari, Ningependa kujua ni maswali gani mara nyingi huulizwa. Click to expand... Kuna uzi umeanzishwa humu jf kuna mtu katuma maswal ambayo mara nyingi huwa wanauliza
bishororo said: Husika na kichwa cha habari, Ningependa kujua ni maswali gani mara nyingi huulizwa. Click to expand... Kuna uzi umeanzishwa humu jf kuna mtu katuma maswal ambayo mara nyingi huwa wanauliza