Tzabway
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 261
- 166
Habari ya mchana wanajamvi.
Kwa wale ambao wameshawahi kufanya usaili wa nafasi ya AFISA BIASHARA, naomba kujua ni aina gani ya maswali ambayo huwa yanatoka kwenye usaili wa mchujo.
Pia hata kama hujawahi kufanya usaili, lakini una uelewa wa kile kinachoulizwa basi sio mbaya ukatia mchango wako.
Natanguliza shukrani.
Kwa wale ambao wameshawahi kufanya usaili wa nafasi ya AFISA BIASHARA, naomba kujua ni aina gani ya maswali ambayo huwa yanatoka kwenye usaili wa mchujo.
Pia hata kama hujawahi kufanya usaili, lakini una uelewa wa kile kinachoulizwa basi sio mbaya ukatia mchango wako.
Natanguliza shukrani.