Msaada; Mashine ya kusafishia maji

Msaada; Mashine ya kusafishia maji

briz

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
4,275
Reaction score
19,110
Habarini wadau, nasikia kuna mashine ya kusafisha maji ya kawaida ili yafae kwa kunywa na mashine hizo ni kwa matumizi ya nyumbani, ntazipatia wapi?
 
Mbona zimejaa maduka ya wahindi mtaa wa India DSM?
 
Habarini wadau, naskia kuna mashine ya kusafisha maji ya kawaida ili yafae kwa kunywa na mashine hizo ni kwa matumizi ya nyumbani, ntazipatia wap?

hizo zinaitwa WATER FILTER . zinapatikana NABAKI AFRICA LTD
 
Zinauzwa bei gani......Zinaweza filter hata maji ya chumvi....

Bei zinaanzia TSHs 60,000/= kuhusu kuchuja maji chumvi sina hakika.

jinsi invyofanya kazi:
kuna kichujio chenye sifa ya kutoa kitu kama Charge ambao unateketeza aina zote za vimelea vya magonjwa, kwa hivyo maji yanakuwa yanachujwa taratibu, na yanapotokea upande mwingine yanakuwa safi na salama kwa kunywa. Kifaa hicho hakitumiaa umeme wala battery. ni kama kifaa cha asili.
 
Hakuna njia ya kawaida ya kuunda mashine kama hizi za kuchuja magadi. wapi wanauza bei rahisi mashine nzuri za kuchuja maji
 
Back
Top Bottom