Msaada mashine ya kuchapisha vitabu

Msaada mashine ya kuchapisha vitabu

upupu

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2008
Posts
614
Reaction score
198
Wandugu, naombeni msaada, nafikiria biashara ya uchapaji hasa vitabu, ila sijui mashine za uchapaji zinakuwaje na bei zake ni kiasi gani!! Na wapi nitaweza kuzipata, na materials, mfano karatasi, wino na kadhalika
Mwenye uelewa wa mambo haya anifahamishe.
 
Mashine zipo nyingi na nyingi ni used,kuna kubwa zinazochapa karatasi za.A2,A3 na ndogo za A4,Hizo kubwa used andaa kuanzia milion kumi na ndogo kuanzia sita na kuendelea.Karatasi na wino zipo nyingi tu mjini hapa.Alafu uko wapi maana swali la kuuliza karatasi nahisi utakuwa nje ya Dar.Ukitaka mpya google utaona bei.Kama vipi ni Pm
 
Pia ushauri usiingie kwenye hiyo biashara otherwise uwe na michongo ya tenda za maana.Kama unataka kuiga hiyo ela fanyia ishi nyingine.Ni ushauri tu,utaki unaacha.
 
Mashine nzuri ni offset printing machine ndiyo zenye nguvu ya kufanya shunguli hiyo makampuni yapo mengi kama hielberg ya ujeruman,hamada ya kijapan,za kichina ambazo ni cheap unaweza nunua mpya kwa bei ya mtumba wa ujeruman pia inategemea ukubwa he inahitaji single head,double head, four head ambayo inapiga Rangi NNE .biashara hii ni nzuri na ina Wateja wa kutosha.
 
Mkuu, mi nataka nijikite kwenye uandishi wa novel na vitabu, so nataka nichapishe mimi mwenyewe!! Ili kuondoa kutapeliwa na kisha kuchapishia na wengine
 
Wandugu, naombeni msaada, nafikiria biashara ya uchapaji hasa vitabu, ila sijui mashine za uchapaji zinakuwaje na bei zake ni kiasi gani!! Na wapi nitaweza kuzipata, na materials, mfano karatasi, wino na kadhalika
Mwenye uelewa wa mambo haya anifahamishe.
machine moja in zaidi ya million 20.Ushauri anza na kuprint vitabu India ambapo kuna cheap printers.Mtaji wako ukikuwa ndo ununue yako.Ata Shigingo vitabu vyake anachapa India
 
Usidanganywe offset kimeo hizo mashine zimejaa kkoo wengi zimewafilisi,yangu nimeiza yani hazima faida unaishia kulipa pango operator na umeme.Labda uchape mwenyewe kazi zako ila biashara sikushauri.Mashine mzuri ni Gto na Hidelbeg ambazo znachapa karatasi za A3
 
Usidanganywe offset kimeo hizo mashine zimejaa kkoo wengi zimewafilisi,yangu nimeiza yani hazima faida unaishia kulipa pango operator na umeme.Labda uchape mwenyewe kazi zako ila biashara sikushauri.Mashine mzuri ni Gto na Hidelbeg ambazo znachapa karatasi za A2 na A3 pia inachapa full colour.
 
Mkuu, mi nataka nijikite kwenye uandishi wa novel na vitabu, so nataka nichapishe mimi mwenyewe!! Ili kuondoa kutapeliwa na kisha kuchapishia na wengine

Mkuu ukiwa umeshaanda sample nicheki mimi niko kwenye kampuni ambayo itakusaidia ku print Quality kwa gharama ndogo na kuhusu copyright ya kazi zako pia tutakusaidia. Naomba uwe na imani kuhusu hilo swala lako.
 
machine moja in zaidi ya million 20.Ushauri anza na kuprint vitabu India ambapo kuna cheap printers.Mtaji wako ukikuwa ndo ununue yako.Ata Shigingo vitabu vyake anachapa India

Shukrani mkuu, hapa umepanua radius yangu ya kufikiri
 
Usidanganywe offset kimeo hizo mashine zimejaa kkoo wengi zimewafilisi,yangu nimeiza yani hazima faida unaishia kulipa pango operator na umeme.Labda uchape mwenyewe kazi zako ila biashara sikushauri.Mashine mzuri ni Gto na Hidelbeg ambazo znachapa karatasi za A3

Mkuu shukrani, kumbe ningeweza kuingia cha kike
 
Mkuu ukiwa umeshaanda sample nicheki mimi niko kwenye kampuni ambayo itakusaidia ku print Quality kwa gharama ndogo na kuhusu copyright ya kazi zako pia tutakusaidia. Naomba uwe na imani kuhusu hilo swala lako.

Swala kubwa ni kuwa je nitakuwa na hakika gani hazitatoka copy za ziada ambazo mimi sijui?? Hilo tu ndo tatizo!! Unanihakikishia vipi hapo
 
Shukrani mkuu, hapa umepanua radius yangu ya kufikiri

Mkuu je una experience na china? Ukifanya comparison ya china na india, je ni wapi ni cheaper? Na jiji gani?
 
Swala kubwa ni kuwa je nitakuwa na hakika gani hazitatoka copy za ziada ambazo mimi sijui?? Hilo tu ndo tatizo!! Unanihakikishia vipi hapo

Mkuu naomba nikupe ushauri. Kila kitu kinafanyika hapa hapa kuna kampuni ambayo mimi nafanya nao kazi ni waaminifu wanaitwa JAMANA PRINTERS ni kampuni ambayo inachukua mpaka tenda ya serikali na watu mbalimbali na gharama zao ni cheap sana hutoweza hata kuamini. Na kazi quality.
Kuhusu swala la Copy hawafanyi hawa jamaa sababu wanajua biashara na hawapendi kupoteza mteja.
 
Mkuu naomba nikupe ushauri. Kila kitu kinafanyika hapa hapa kuna kampuni ambayo mimi nafanya nao kazi ni waaminifu wanaitwa JAMANA PRINTERS ni kampuni ambayo inachukua mpaka tenda ya serikali na watu mbalimbali na gharama zao ni cheap sana hutoweza hata kuamini. Na kazi quality.
Kuhusu swala la Copy hawafanyi hawa jamaa sababu wanajua biashara na hawapendi kupoteza mteja.

Jamana si jina geni, mkuu nitakutafuta muda ukiwa muafaka!!
 
Mkuu, mi nataka nijikite kwenye uandishi wa novel na vitabu, so nataka nichapishe mimi mwenyewe!! Ili kuondoa kutapeliwa na kisha kuchapishia na wengine
kama unataka kuchapa vitabu vyako mwenyewe ni bora ukaanza kuprint india au china angalia soko likoje na ndio upime kama kununua mashine zako ni swala sahihi. Wa tz vitabu hatusomi
 
Back
Top Bottom