Msaada: Mapishi ya MATOKE

Mayu

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2010
Posts
8,573
Reaction score
14,175
Wakuu kunawakati katika zunguka zunguka za kazi nilipata kukaa Kagera kwa miezi kadhaa, nilitokea kupenda sana zile ndizi zao wanaita MATOKE

Naomba kama kuna mtaalamu anielekeze namna ya kupika yakiwa na mchangnyiko wa Sato au samaki yeyote au nyama na mchanganyiko mwingine, maana nilikuwa nakula mara nakuta maharage kwambali nyanya chungu, mboga mboga nk
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…