Msaada: Mapenzi yananinyima raha, sijui ni psychological problem

Ni kwa vijana zaidi, ukishaingia utu uzima na uzee wala haisumbui
 
Poa tu,kwanza ndo vizuri

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Mi nilipitia hali hiyo ya kuwa na muwaza na kumfuatilia demu wangu, yaani asipojibu msg au kupokea cm nilikuwa nahangaika sana, baadae nikaanza mpotezea kidogo kidogo nikashangaa yeye alivyoukuwa ana piga simu na ma message kama yote!!!! nikagundua kua attention niliyokuwa na mpatia ndiyo ilikuwa ina mpa kichwa!!! siku hizi wala simtafuti kihivyoo mpka yeye ana lalamika.
 
Safi sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…