Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagizie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagiazie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagiazie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
Bei zinategemea na uwezo wa simu -- 32GB ni dola 750, 64GB ni dola 850 na 128 GB ni dola 950. Hizo ndio bei kwenye maduka ya vifaa vya apple yaani iStore na Elite Computers
Bei zinategemea na uwezo wa simu -- 32GB ni dola 750, 64GB ni dola 850 na 128 GB ni dola 950. Hizo ndio bei kwenye maduka ya vifaa vya apple yaani iStore na Elite Computers
Unaanzaje ku copy iPhone ? Hakuna kitu kama hicho .. Wanaojaribu wanaishia kwenye housing tu na si zaidi ya hapo .. IPhone original is easy to know , washa unganisha na apple id au fungua na apple id .. Au muombe muuzaji akuunganishie simu yako na iTunes software kwenye computer ... IPhone copy zote zina Android na os zingine , haziwez kupata services za iPhone ..
Wadau nataka kwenda pale iStore (Mlimani City) niagizie hii simu kutoka U.S.A ikiwa Unlocked nauliza kwa wazoefu itanigharimu kiasi gani mpaka mzigo wangu ufike Dar es Salaam?
Bei zinategemea na uwezo wa simu -- 32GB ni dola 750, 64GB ni dola 850 na 128 GB ni dola 950. Hizo ndio bei kwenye maduka ya vifaa vya apple yaani iStore na Elite Computers