Ramadhani Kapenga
Member
- Apr 2, 2012
- 32
- 8
Jamani nataka kununua gari kwenye hii kampuni www.beforward.jp, Kwa yoyote ambaye alishawahi kununua gari hapa anieleze kama hii kampuni iko bomba kuanzia gari zake (Kama zina good quality) Je kampuni siyo ya kitapeli. Hint: nimeona gari zao ni bei ya chini ukilinganisha na kampuni nyingine kama Autorec