Msaada malware kwenye Android




Nafikiri nimeshakueleza kuwa, hongera kwa kazi nzuri, endelea na kazi braza.. Wewe unajua sana tena sana hongera!

Endelea kuwaonesha vitu vikubwa vikubwa, na hapo huo ulikuwa mfano wa sehemu ya kazi zako braza.. So fanya kama vile uko juu na samahani kwakukuharibia business!

Maana naona kila topic ni unwanted unwanted na ku google maana ya log files!

Bye bye na kazi njema..

Sent from my BlackBerry 10 using JamiiForums
 

ungejua umri wake sidhani kama ungemwita DOGO
 



mkuu wewe ni wakala wa Microsoft?
 
Duuuu mkuu umekuwa ugomvi chiefmkwawa anatoa ushauri mzuri na wengi ndie mmoja wa washauri wazuri humu jamvini
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilitumia app inaitwa kingroot nimetatua tatizo.

Hata mm nili root na king root zikatoka, but I think there must be an another way out. also think Rooting is not safe, nlipomaliza tatizo nikai unroot. Saiv iko poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…