Wadau naomba kujuzwa mahali zilipo ofisi mpya za Taxify Tanzania , inaonekana wamehama hapa walipokuwa karibu na ofisi za zamani za DSTV, tatizo ukiulizia kwa watu wa karibu hapo wengi hawajui wamehamia eneo gani.
Wadau naomba kujuzwa mahali zilipo ofisi mpya za Taxify Tanzania , inaonekana wamehama hapa walipokuwa karibu na ofisi za zamani za DSTV, tatizo ukiulizia kwa watu wa karibu hapo wengi hawajui wamehamia eneo gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.