Msaada maelekezo kufungua sponsored page ya FB

Msaada maelekezo kufungua sponsored page ya FB

Mr Mose

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
369
Reaction score
529
Wasalaam,

Mimi ni mjasiriamali mdogo nina shughulika na kuuza nguo za kike na za watoto pamoja na urembo, nimekuwa nikitangaza biashara yangu kupitia facebook acc ya kawaida ila naona sasa wateja wakununua hakuna kwasababu kila siku ni mafriends wale wale, nataka nifungue page maalumu ambayo nitakua nalipia ili niweze kutangaza na kuwafikia watu/wateja wengi zaidi.

Natanguliza shukurani.
 
kuna page pia inaitwa "KISIMA CHA JANGWANI"
unaweza kupost matangazo yako baada ya kulipia.
page ina member zaidi ya laki tano na ni very active page.

kama uko tayar kulipia naomba tuwasiliane "PM"
 
kuna page pia inaitwa "KISIMA CHA JANGWANI"
unaweza kupost matangazo yako baada ya kulipia.
page ina member zaidi ya laki tano na ni very active page.

kama uko tayar kulipia naomba tuwasiliane "PM"
Bei gani kwa post moja
 
Asante mkuu ngoja niingie kwenye link

also ku note ili kutangaza kwenye facebook ama instagram inabidi uwe na kadi ya benki yenye uwezo wa viza ama mastercard.

Ingia hata google kuna maelezo mengi sana. achana na watu wanaokwambia wana page za watu laki ngapi sijui, facebook ni wafanya biashara wana taka kila mtu alipe. Page ya jumia ina like milioni tatu lakini bado wanatangaza, kwa nini? cheki page yao hapa Jumia Market | Facebook kila post ina like 4 hadi 5 mwisho ishirini na kitu.

Facebook hata uwe na like milioni ngapi, wataonesha post yako kwa chini ya asilimia 2.6 tu ya watu waliolike page yako, then kuna mahesabu yao mengine lakini kamwe haiwafikii watu wote, hii ndio njia yao ya kupigia hela, lakini inafanya kazi vizuri ukiijulia.

Kingine ni kwamba, facebook unachagua unamtangazia nani, kama unauza bidhaa kwa watoto, unachagua utangaze kwa wamama wenye watoto tu waliopo mkoa ulipo. inafanya kazi vizuri sana system yao na its very cheap, unaweza anza kutangaza kuanzia dola 5 ambayo ni kama elfu 12. utawafaikia watu elfu kadhaa kwa hiyo dola tano.

anyway, i hope hii itasaidia.
 
also ku note ili kutangaza kwenye facebook ama instagram inabidi uwe na kadi ya benki yenye uwezo wa viza ama mastercard.

Ingia hata google kuna maelezo mengi sana. achana na watu wanaokwambia wana page za watu laki ngapi sijui, facebook ni wafanya biashara wana taka kila mtu alipe. Page ya jumia ina like milioni tatu lakini bado wanatangaza, kwa nini? cheki page yao hapa Jumia Market | Facebook kila post ina like 4 hadi 5 mwisho ishirini na kitu.

Facebook hata uwe na like milioni ngapi, wataonesha post yako kwa chini ya asilimia 2.6 tu ya watu waliolike page yako, then kuna mahesabu yao mengine lakini kamwe haiwafikii watu wote, hii ndio njia yao ya kupigia hela, lakini inafanya kazi vizuri ukiijulia.

Kingine ni kwamba, facebook unachagua unamtangazia nani, kama unauza bidhaa kwa watoto, unachagua utangaze kwa wamama wenye watoto tu waliopo mkoa ulipo. inafanya kazi vizuri sana system yao na its very cheap, unaweza anza kutangaza kuanzia dola 5 ambayo ni kama elfu 12. utawafaikia watu elfu kadhaa kwa hiyo dola tano.

anyway, i hope hii itasaidia.
Asante sana kaka u r my role model kwenye hizi kazi najua we ni mzoefu nitakua nakujulisha kwa kila hatua ninayoifikia
 
Wasalaam,

Mimi ni mjasiriamali mdogo nina shughulika na kuuza nguo za kike na za watoto pamoja na urembo, nimekuwa nikitangaza biashara yangu kupitia facebook acc ya kawaida ila naona sasa wateja wakununua hakuna kwasababu kila siku ni mafriends wale wale, nataka nifungue page maalumu ambayo nitakua nalipia ili niweze kutangaza na kuwafikia watu/wateja wengi zaidi.

Natanguliza shukurani.
Mkuu na mm nafanyia biashara ya nguo za watoto let's see tunasaidianaje kuwafikia wateja tuwasiliane 0716973403 whatsaap
Call 0625660797
 
Lipia na card yako ya bank fb ni rahis na utauza adi uchanganyikiwe ujue tu watu wanataka nini kulingana na vipindi.....Mimi tangu nimejua kulipia huko aku nakula kilain
 
Lipia na card yako ya bank fb ni rahis na utauza adi uchanganyikiwe ujue tu watu wanataka nini kulingana na vipindi.....Mimi tangu nimejua kulipia huko aku nakula kilain
Kumbe mkuu tuelekezane maujanja basi
 
also ku note ili kutangaza kwenye facebook ama instagram inabidi uwe na kadi ya benki yenye uwezo wa viza ama mastercard.

Ingia hata google kuna maelezo mengi sana. achana na watu wanaokwambia wana page za watu laki ngapi sijui, facebook ni wafanya biashara wana taka kila mtu alipe. Page ya jumia ina like milioni tatu lakini bado wanatangaza, kwa nini? cheki page yao hapa Jumia Market | Facebook kila post ina like 4 hadi 5 mwisho ishirini na kitu.

Facebook hata uwe na like milioni ngapi, wataonesha post yako kwa chini ya asilimia 2.6 tu ya watu waliolike page yako, then kuna mahesabu yao mengine lakini kamwe haiwafikii watu wote, hii ndio njia yao ya kupigia hela, lakini inafanya kazi vizuri ukiijulia.

Kingine ni kwamba, facebook unachagua unamtangazia nani, kama unauza bidhaa kwa watoto, unachagua utangaze kwa wamama wenye watoto tu waliopo mkoa ulipo. inafanya kazi vizuri sana system yao na its very cheap, unaweza anza kutangaza kuanzia dola 5 ambayo ni kama elfu 12. utawafaikia watu elfu kadhaa kwa hiyo dola tano.

anyway, i hope hii itasaidia.
Mkuu tupeane hayo maujuzi sasa
 
Kwa kukusaidia zaidi. Kama una Instagram page ya Ndo rahisi kufungua. Inakupeleka moja kwa moja fb
 
Nataka nikusaidie mmi ni mtaalamu kabisa wa hayo mambo tuwasiliane 0673269820.
 
Back
Top Bottom