Msaada: Mabinti hawa email zao zinafanana

Msaada: Mabinti hawa email zao zinafanana

Hahahaa
Usithubutu
Nilishakutana nazo email mbili na maelezo ni hayo hayo.
Ss najiuliza walipata wapi email yangu?!!!
 
kila mtu anasema matapeli matapeli lakini hakuna hata mmoja aliewahi kutapeliwa zaidi ya hisia tu...sasa kaka fanya hivi ebu kubali kushirikiana nao alafu tuone mwisho wao utakuaje kama wakikutapeli tutakuwa tushajua kuwa ni wezi wasipokutapeli basi itakuwa zali kama la mentali jay
 
Habari zenu wakuu.Mimi ni mtumiaji pia wa facebook.Kuna mabinti sasa wanafikia watatu ambao waliniomba niwe mshirika wao wa biashara kuwekeza nchini kwetu TZ.Kwa nyakati tofauti wamekuwa wakiomba ushirikiano wa kibiashara.Lakini hadi hapa nimegundua yafuatayo: 1.Maelezo yao kwenye email yanafanana 2.Maeneo wanayojieleza kutokea yanafanana(Senegal,Siera Leon) 3.Sababu ya kuwa kambi za wakimbizi zinafanana(Baba zao walifariki na walikuwa viongozi wa serikali au wafanya biashara.) 4.Hawataki tuwasiliane kwa facebook ila kwa email tu. Hao wote wametaka maelezo yangu binafsi,maisha na akaunti za benki ila sijawapa.Haya ni majina yao;Tina Thiara,Queen Thiara na Minnie Bagbo Sankawulo. Ndugu zangu,huu mchezo unaitwaje na je niko salama?Kuna yeyote amewahi kukutana na majina hayo?Nahitaji msaada wenu zaidi hapo.

Mkuu hii kitu ilinitokea hata mimi.
 
Habari zenu wakuu.Mimi ni mtumiaji pia wa facebook.Kuna mabinti sasa wanafikia watatu ambao waliniomba niwe mshirika wao wa biashara kuwekeza nchini kwetu TZ.Kwa nyakati tofauti wamekuwa wakiomba ushirikiano wa kibiashara.Lakini hadi hapa nimegundua yafuatayo:
1.Maelezo yao kwenye email yanafanana
2.Maeneo wanayojieleza kutokea yanafanana(Senegal,Siera Leon)
3.Sababu ya kuwa kambi za wakimbizi zinafanana(Baba zao walifariki na walikuwa viongozi wa serikali au wafanya biashara.)
4.Hawataki tuwasiliane kwa facebook ila kwa email tu.
Hao wote wametaka maelezo yangu binafsi,maisha na akaunti za benki ila sijawapa.Haya ni majina yao;Tina Thiara,Queen Thiara na Minnie Bagbo Sankawulo.
Ndugu zangu,huu mchezo unaitwaje na je niko salama?Kuna yeyote amewahi kukutana na majina hayo?Nahitaji msaada wenu zaidi hapo.

Hao wala sii wanawake , ni matapeli wa kiume ndo wanaokuandikia ww hizo e mail
wakishaamdika wanachukua picha za visichana na kukutumia ili wakuteke vizuri. ni story ndefu. mimi walishanivaa lakini nilijawabaini baadae nilipokuta habari zao mtandaoni. " sii salama hao weka mbali na watoto.
 
Scammers?What do u mean mkuu?

Wabongo wengi tunatumia mitandao pasipo kujua hatari za mitandao...

Ona kama utapeli mdogo kama huu bado mtu anataka kuweka trust...

Utakuwaje a serious user wa mtandao hata usijue terminology rahisi rahisi kama 'scammer'?
 
Back
Top Bottom