Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,366
- 834
Wakuu kunariwaya nilisoma hapa siikumbuki,,inahusu kijana mtoto Wa tajiri alimpenda Msichana wao Wa ndani wazazi walivyogundua wakamfukuza yule binti na kijana akaoa mwanamke mwingine,,baadae wazazi Wa yule kijana wakapata Amalia wakafa,,plz nimesahau jina LA hiyo riwaya