anna mbuja
Senior Member
- Jan 28, 2016
- 131
- 68
Mimi uso wangu una mafuta sana nikashauriwa nitumie cleanser inaitwa vovi aiseehh sitaiacha kabisaa ni nzuri na inapatikana maduka yote ya s.h.amon bei ni 15k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua seti ya pure skin au love nature tea tree ya oriflame itakusaidiaHabari zenu wana urembo,
Naomba msaada wa kupewa ushauri wa moisturizer gani nzuri kuupaka usoni kwa wale wenye combination skin or oily skin uso wangu una mafuta ambayo hayachemki bali yanaganda na kutoa weupeweupe flani hivi usoni.
Sio siri unaninyima raha rangi ya ngozi yangu ni brown naomba katika ushauri huo mnisaidie mositurizer ambayo itanifanya ngozi yangu ibaki hivyo hivyo brown coz sipendi kujichubua kabisa.
Tumia love nature ya oriflame kuondoa sumu inayokana creamJamani na mimi natumia medivin cream nataka kuacha, je nitumie nini ili kuondoa cream??
Mie nishaachaga kutumia lotion
Ndokufanya niniKu Moisturize ni bora kuliko ku lotion, kwa uso wa mafuta.
nitafute nikupe tiba mujarabu uso uwe kama mcharoUao haui soft kabisa yaan unakua na vijipele pele vinanikera sana
Hizi zinategemea ngozi ya mtu. Nimepaka happy skin inanitoa vipele flan vigumu halafu vinauma hatariHappy skin ya Oriflame 25000
jamani nitumie uso niuone,napenda uso wa hivyo(utani)Uao haui soft kabisa yaan unakua na vijipele pele vinanikera sana
Kumbe ulikua unatania nilitaka kuleta posajamani nitumie uso niuone,napenda uso wa hivyo(utani)
jamani, bahati inanipita, tuma tuKumbe ulikua unatania nilitaka kuleta posa
Ulikua unapaka usoni au mwilin??Hizi zinategemea ngozi ya mtu. Nimepaka happy skin inanitoa vipele flan vigumu halafu vinauma hatari
watakuona kama unachekesha. Ila ukweli ni kwamba niliachana na aina yoyote ya mafuta7/losheni baada ya kugundua kila nikipaka natokwa na vipele usoni nilibadilisha aina nyingi za losheni pasi na mafanikio ...Kunywa maji mengi
Mie napendaga vitu vya asili, huwa nachanganya unga wa liwa na rose water afu napaka usoni, then ukikauka nanawa na maji ya uvuguvugu then napaka limao nakaa baada ya dakika 20 nanawa, ngoz inakuwa nzuri kweli ata kama ulikuwa na vidoa vya chunusi vinaisha,
Ni maji ya rose yanauzwa madukani. Mi huwa natumia hayarose water ndo nini?'