Msaada: Lodge nzuri mjini Dodoma

Msaada: Lodge nzuri mjini Dodoma

Mwifwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
48,718
Reaction score
126,563
Habari wakuu!

Nina mpango wa kutembelea mji wa watu wasiojulikana hapo kesho.

Kwa walioko huko au kwa mwenye kujua Lodge nzuri yenye bei nafuu kwa siku kuanzia 20-30.

Naomba anijuze jina, mahali/mtaa iliyopo hiyo Lodge

Ahsanteni!!
 
Habari wakuu!

Nina mpango wa kutembelea mji wa watu wasiojulikana hapo kesho.

Kwa walioko huko au kwa mwenye kujua Lodge nzuri yenye bei nafuu kwa siku kuanzia 20-30.

Naomba anijuze jina, mahali/mtaa iliyopo hiyo Lodge

Ahsanteni!!
ni PM
 
zipo nyingi sana pale dom. Wasalimie sana watu wasiojulikana ukifika
 
Naomba uweke wazi hapa kama hutojali

IMG_5301.jpg
 
How much is your bajeti? Last time nililala African Dreams. Kwa mandhari ni pazuri Kiukweli (I may reluctantly add sana). Accommodation ni pazuri (I will not add sana). Again it depends on your standards. Lakini manager wake yule Mzungu ni very good man. Alinisaidia gari yangu ilipata flat tyre....na nilifika late lakini alihakikisha naandaliwa chakula. He was extremely friendly and helpful. In all I liked the place. If I was traveling through Dodoma again (mji wa watu wasiojulikana), ningelala pale tena.
 
Ziko nyingi sana ambazo ni nzuri among them ni Apasia Lodge,go google itakuonyesha mpaka mtaa ilipo..
 
Zipo nyingi mnoo... me nipo hapa zaidi ya wiki tatu sasa. Inategemea unapenda kufikia maeneo gani. Your welcome makao makuu ya nchi
 
Nenda mitaa ya chako ni chako,buku teni unalalaa saaafi,halafu ile 20 unaenda kupigilia kuku mzima ,kumi nyingine unajilima na bia nne
 
Wakuu nashukuru sana.

Tayari nimeshapata accomodation ili kufanikisha hii safari yangu.

Ahsanteni sana, Mungu awabariki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom