muvika online
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 375
- 283
mbona unakuja mbinafi sana ww
mbona unakuja mbinafi sana ww
Emmanuel S Jonathan asante sana sasa unaweza kuifuta
Mimi ndio nimeanzisha threads nikiwa na maana nahitaji msaada mimi mwenyewe ila kama kuna mtu anahitaji anafungua tu threads kwani hakuna gharamaKwanini unamuita mwenzako mbinafsi?👇👇
mbona wewe umefanya kitu kile kile alichokifanya mwenzako👇👇
Kwanini umwambie mwenzako aondoe hiyo link?
au kwasababu umeomba wewe unahisi wengine hawa ihitaji?
🤣 🤣 🤣 🤣Kwanini unamuita mwenzako mbinafsi?👇👇
mbona wewe umefanya kitu kile kile alichokifanya mwenzako👇👇
Kwanini umwambie mwenzako aondoe hiyo link?
au kwasababu umeomba wewe unahisi wengine hawa ihitaji?
Sio ubinafsi..jamaa alitakiwa aku pm link..sio kuweka hapa...sasa kati ya kutumiwa pm na kuanika hapa mambo tuyakose ipi bora?mbona unakuja mbinafi sana ww
sawa kama na wewe unayo nyingine nipe basiSio ubinafsi..jamaa alitakiwa aku pm link..sio kuweka hapa...sasa kati ya kutumiwa pm na kuanika hapa mambo tuyakose ipi bora?
Na hatukupi zingineMimi ndio nimeanzisha threads nikiwa na maana nahitaji msaada mimi mwenyewe ila kama kuna mtu anahitaji anafungua tu threads kwani hakuna gharama
Sema Huna maana Sijakwambia unanipa bure ndugu, nimesema kwa atakae nipa nyingi hata 5 namlipaNa hatukupi zingine
Zipo hata humu zishawekwa nyingi.... Wala sihitaji hata hela yakoSema Huna maana Sijakwambia unanipa bure ndugu, nimesema kwa atakae nipa nyingi hata 5 namlipa
nimeitoa mkuu
inaoneka hii sio LIVekwangu haisomi mkuu, inaniandikia file reading failed
ndio ina play ila sinaonekana sio liveIna play soma hapo kweny comment yangu ya juu
Mkuu nilitumua compyuta, but kwa simu iko poaMbona kwangu inaplay bila shida nawe nae download app inaitwa max player itaplay bila shida mkuu