Msaada: Laptop ya Sony Vaio haikubali game

Msaada: Laptop ya Sony Vaio haikubali game

MAGUFULI anasema kazi tu, ww MAGAME!!

Utakuta eti na ww uko 18+. Akili za Game!!

Hebu kamuulize huyo mwenyekiti wako aliposema hapa kazi tu na akazuia ajira alikuwa ana maanisha nn?

Ww akili zako ndogo sana tangu umeanza kutafuta hela kweny account yako inasoma hata bilion 1?

Ndiyo tatizo ukiwa una akili za kimaskini kila wakati unafikiri kila kitu ni anasa tu.
 
Kazi na dawa jamani. Relaxation time most precious and important.
 
Hebu kamuulize huyo mwenyekiti wako aliposema hapa kazi tu na akazuia ajira alikuwa ana maanisha nn?

Ww akili zako ndogo sana tangu umeanza kutafuta hela kweny account yako inasoma hata bilion 1?

Ndiyo tatizo ukiwa una akili za kimaskini kila wakati unafikiri kila kitu ni anasa tu.
Acha ujinga ww. Na ji mwili lote hilo na ww ucheze Game!! Afu unajiona mjanja!!

Fanya kazi ww!!
 
Acha ujinga ww. Na ji mwili lote hilo na ww ucheze Game!! Afu unajiona mjanja!!

Fanya kazi ww!!
Ndiyo maana nchi za kiafrika hatuendelei kwa sbb ya kuwepo kwa wajinga wachache km ww.
Kwenye account yako ya bank umeshafikisha bilion moja?
Mwenyekiti wako kazizuia tangi aliposema miezi 2 mpaka leo kala kona. Kamuulize kwanza mwenyekiti wako zile ajira za watoto wa wakulima ziko wapi?
Ww siyo bure utakuwa umelishwa unga wa ndere
The rock, chriss brown wanacheza game utakuwa ww?
 
Tatzo ujinga ndio mnaona ujanja. Na mkiambiwa makavu, full mapovu.
Kaka kuwa muelewa hiyo ni burudani tu kama burudani za wengine kupenda kusikiliza mziki, kucheki muvi,kunywa pombe, kucheza michezo n.k. so na sisi wengine so kama hatufanyi kazi hapana. Kama mm ni mfanyakazi mzuri tu, ila ninapotaka kureflesh mind huwa napendelea kucheza games.
 
Back
Top Bottom