Msaada Laptop inagoma kuwaka

Msaada Laptop inagoma kuwaka

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,514
Reaction score
14,173
Wakuu habar

Naomba msaada laptop aina ya hp inaandika Boot device not found.

Inaishia hapo kwenye maandishi
 
Wakuu habar

Naomba msaada laptop aina ya hp inaandika Boot device not found.

Inaishia hapo kwenye maandishi
Hapo kuna mawili mkuu
1, window yako ime corrupt,
2, HDD au SSD yako inaelekea kuisha muda wa kutumika...Kwa maana ya spam life health storage yako..,
Kama utataka matengenezo karibu office zetu zippo ilala karume
Call 0682202114
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom