Ukiuliza kwanini unanipenda
Ni swali ya kimahaba au kiimanii
Maana kila nimulizapo mpenzi wangu hilo swali anakuwa mtata hata kutaka kuachana je hii ni sawa
Ukiuliza kwanini unanipenda
Ni swali ya kimahaba au kiimanii
Maana kila nimulizapo mpenzi wangu hilo swali anakuwa mtata hata kutaka kuachana je hii ni sawa
Ukiuliza kwanini unanipenda
Ni swali ya kimahaba au kiimanii
Ukiuliza kwanini unanipenda
Ni swali ya kimahaba au kiimanii
Maana kila nimulizapo mpenzi wangu hilo swali anakuwa mtata hata kutaka kuachana je hii ni sawa
Ukiuliza kwanini unanipenda
Ni swali ya kimahaba au kiimanii
Maana kila nimulizapo mpenzi wangu hilo swali anakuwa mtata hata kutaka kuachana je hii ni sawa
Mimi naomba niwe tofauti kimtazamo,kumpenda mtu hakuji kama kimbunga au sunami mpaka ushindwe kueleza kilichofanya umpende huyo na si mwingine kuna vitu unakuwa umeviona na vimekuvutia mpaka ukawa na huyo ila mapenzi yanakuwa yamezidi mpaka unashindwa kujielewa ingekuwa kama unavyosema watu wasingekuwa wanaweka vigezo katika kupata mpenzi maana ingeangukia popote. Na mtu anayeshindwa kueleza ni kipi hasa kimemfanya ampende huyo mpenzi wake maana yake ana mtu mwingine anampenda huwezi ukakosa sababu ya kwanini unampenda huyo uliye naye ya kwangu ni hayo tu!upendo wa kweli unatoka moyoni na huja bila kuangalia sababu..ya kwanini au unanini...akikupenda sababu ya kitu fulani siku hicho kitu kikipotea au kikihalibika na upendo unakufa.upendo wa kweli hauna sababu mengine ni nyongeza tu unajengeka moyoni mwa mtu kulingana na hisia zake kwako.mtu akikwambia nakupendea sura,tabia ,pesa n.k ni muongo hajapenda bali katamani...mtazamo tuuu..