Wakuu kwema. Na imani mnaendelea poaa. Wahenga walisema kama nitakuwa sijakosea "omba nyavu ukavue samaki mwenyewe kuliko kuomba samaki kila siku"
Naomba msaada wenu kwenye hili kwa yule atakayeguswa. Niweze kupata laptop kwa ajili ya kuendeleza project yangu (ajira binafsi) ya web development
Mimi ni Mtaalamu wa masuala ya computer (IT Technician) ila nimeibiwa kitendea kazi (laptop) na kwa sasa sina uwezo wa wa kununua kingine na napoishi kodi inaisha, napambania kodi kwa sasa nisije kufurumushwa na nilikuwa na project naanza kufanya shared hosting na website design ila ndio imelala(mwisho wa siku hosting ita expire iwe msala zaidi). Kwa ajili ya kupata kipato cha ziada maana kutegemea mshahara tu hali tete kutoboa uongo. Msaada wenu kwa ambaye ana laptop ambayo haitumii, ipo stoo, au ni old kwake anisaidie iwe kama mtaji kwangu niendeleze harakati. Naomba anisaidie nijikwamue nayo. Niweze kujiendeleza na kumudu maisha. Nitashukuru sana. Nipo dar es salaam ikihitajika kuifuata nitaifuata kama ipo dar es salaam. Kama ipo mkoani tutaweka sawa namna ya kuipata. Natangulisha shukrani sana.
Wenu mpambanaji
Naomba msaada wenu kwenye hili kwa yule atakayeguswa. Niweze kupata laptop kwa ajili ya kuendeleza project yangu (ajira binafsi) ya web development
Mimi ni Mtaalamu wa masuala ya computer (IT Technician) ila nimeibiwa kitendea kazi (laptop) na kwa sasa sina uwezo wa wa kununua kingine na napoishi kodi inaisha, napambania kodi kwa sasa nisije kufurumushwa na nilikuwa na project naanza kufanya shared hosting na website design ila ndio imelala(mwisho wa siku hosting ita expire iwe msala zaidi). Kwa ajili ya kupata kipato cha ziada maana kutegemea mshahara tu hali tete kutoboa uongo. Msaada wenu kwa ambaye ana laptop ambayo haitumii, ipo stoo, au ni old kwake anisaidie iwe kama mtaji kwangu niendeleze harakati. Naomba anisaidie nijikwamue nayo. Niweze kujiendeleza na kumudu maisha. Nitashukuru sana. Nipo dar es salaam ikihitajika kuifuata nitaifuata kama ipo dar es salaam. Kama ipo mkoani tutaweka sawa namna ya kuipata. Natangulisha shukrani sana.
Wenu mpambanaji