Msaada kwenye tuta

Msaada kwenye tuta

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,427
Wakuu

Jana nimekutana na dem yupo bleed,

Maswali

1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?

2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?

3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma

4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?

Nb. Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu..

Means , bleeding ilianza nikiwa kwenye show before alikuwa clean .

Ikabidi ni stop show

Sio kwamba nili plan kuichapa huku nikijua ana bleed
 
Wakuu

Jana nimekula dem ana bleed,

Maswali

1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?

2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?

3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma

4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?
Genye si mchezo kwanini hukutumia line ya 0713?
 
images (8).jpeg
 
Wakuu

Jana nimekutana na dem yupo bleed,

Maswali

1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?

2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?

3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma

4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?
Hapo ngomaa ndo 100% km ujapima nae mtafute mpime ndani ya masaa 72 ili km amewaka umeze vidonge na Prep ila nakuambia km ana ngoma hapo umepata sikufichi mimba haiwezekani
 
Wakuu

Jana nimekutana na dem yupo bleed,

Maswali

1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?

2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?

3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma

4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?
Hawa ndiyo vijana wa kitanzana.
 
Tayari umeungwa kwenye gridi ya taifa kutokea kituo cha uzalishaji Mtera.
Wakuu

Jana nimekutana na dem yupo bleed,

Maswali

1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?

2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?

3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma

4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?

Nb. Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu..

Means , bleeding ilianza nikiwa kwenye show before alikuwa clean .

Ikabidi ni stop show

Sio kwamba nili plan kuichapa huku nikijua ana b
 
Aisee hiyo kitu nikikumbuka hata ile pisi sina hamu nayo tena, hii pisi ilinizungusha sana nikaipotezea kabisa. Kuna siku ikanicheki niisaidie elfu 5, nikampea 10K baada ya hapo akaniuliza kwani upo wapi now (kama anavyoulizaga bro Evelyn Salt ) nikamjib nilipo. Akaniambia ukirudi niambie nije nikupe uteleze, nikasema mambo si ndio haya 😂

Siku hiyo nilikula total loss na nikakoma kuchepuka. Pisi n kali kifuani si haba ukiambiwa kama kazaa utakataa, kiunoni shanga kibao nikasema leo nitaichapa mpaka ajute kuniletea mapozi. Show ilianza vizuri tu kifo cha mende haikuwa na shida, nakuja kumgeuza aidondokee kwa juu ndio balaa lilipotokea, nilihisi ubaridi chini ya mgongo kumbe ni damu bahati yangu nilikuwa nimevaa kinga.

Ndani ya sekunde 30 ngoma ilisinyaa kwa kasi ya ajabu nikaingia bafuni nikaoga na sabuni nyingi sana. Nikamuuliza akasema aelewi kwanini imekuwa vile nikapotezea akafua shuka tukabuy time kidogo baadae anataka tuendelee nikakataa katu katu.

Siku 3 mbeleni niliumwa sana kuzunguka mgongo na kiuno+homa nikahisi tu ni zile dam. Zina athari.
 
Back
Top Bottom