Msaada kwenye tuta wakuu

Msaada kwenye tuta wakuu

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,427
Tangu wife ajifungue ni miezi mitatu sasa, na ndio nimeanza kushiriki tendo la ndoa na mke wangu

Vipi hapa, kutakuwa na shida yoyote kwenye swala kumbebenda mtoto?
 
ok fanya vile unaona inafaa hio ni mali yako kijana
 
Mungu nifundishe kunyamaza
Screenshot_20250819-224707_1.jpg
 
Mkuu Mitatu yote iyoo , Me nililiamsha dude baada ya miezi 2 tuu na mpaka sasa hakuna nouuma wala nini ..hapo inakupunguzia kumletea mtoto manuksi ya michepuko coz unashiliki na mama ake , kiimani na kiafya sio nzuli sana kushiliki nje then unarudi home na kuwashika mtoto na mama ake na mda huo umetoka kutifuana nje ...
Tangu wife ajifungue ni miezi mitatu sasa, na ndio nimeanza kushiriki tendo la ndoa na mke wangu

Vipi hapa, kutakuwa na shida yoyote kwenye swala kumbebenda mtot
 
Mkuu Mitatu yote iyoo , Me nililiamsha dude baada ya miezi 2 tuu na mpaka sasa hakuna nouuma wala nini ..hapo inakupunguzia kumletea mtoto manuksi ya michepuko coz unashiliki na mama ake , kiimani na kiafya sio nzuli sana kushiliki nje then unarudi home na kuwashika mtoto na mama ake na mda huo umetoka kutifuana nje ...
Kwahyo Niibonde tu sio.

Maana mtoto asije akawa zezeta au shoga
 
Kubemenda mtoto sio mpaka mgongane wenyew ,mtoto anaweza kubemendwa hata ukiwa unakula mbususu nje,kwasababu utarudi huku umebeba mauchafu
 
Vipi siwezi kuharibu mtoto?
Baba mzazi hawezi kuharibu mtoto ila mkeo awe makini anapo maliza kushiriki tendo awahi kuoga asimguse mtoto kabla ya kuoga,

Na pia kuwe na shuka maalam ambayo mtatandika wakati wa mechi baada ya hapo mnaitoa,
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana kama mpaka na wewe umepata mke wa kuoa
 
Baba mzazi hawezi kuharibu mtoto ila mkeo awe makini anapo maliza kushiriki tendo awahi kuoga asimguse mtoto kabla ya kuoga,

Na pia kuwe na shuka maalam ambayo mtatandika wakati wa mechi baada ya hapo mnaitoa,
Daa zoezi hili kwa muda gani
 
Back
Top Bottom