Msaada kwenye tuta plz!

Msaada kwenye tuta plz!

The Wisdom

Senior Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
182
Reaction score
56
Jaman naomben msaada wa kuattach picha
naomben njia au nifanye nini?

jaman natumaini ni wazima!
natumain anayeuliza anahitaji kujua coz hakuna aliyezaliwa anajua
mara nyingi huwa natumia sana simu lkn nikitaka ku upload picha huwa inanikatalia na hiki hii wiki
nimejaribu kutumia cmpter bado inanigomea
nisaidien plz nitumie njia zipi?
mkinisaidia ntajiskia:israel::majani7::violin:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom