itie kwenye mafuta ya taa alafu iache humo humo kwenye mafuta ya taa ndani ya siku kama mbili hivi ao ni vidudu virusi tu watakufa wote.Salaam
Nimenunua simu mpya kitochi kampuni ya bontel lakini nikiweka laini inaandika emergency SIM1 and SIM 2 nifanye Nini Kwa anayejua anifahamishe
Sawasawa mkuuitie kwenye mafuta ya taa alafu iache humo humo kwenye mafuta ya taa ndani ya siku kama mbili hivi ao ni vidudu virusi tu watakufa wote.
na line zote zitasoma na utaweza kuweka nyimbo na video kwenye simu yako bila kuweka memory cardView attachment 2523642