Msaada kwenye simu HTC ONE X

Msaada kwenye simu HTC ONE X

murugalama

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
231
Reaction score
81
Wadau habari za majukumu, nimenunua simu mpya aina ya HTC ONE X ambayo inatumia min card, kinachonisumbua nimechonga min card na kuweka lkn inasema registration fail, na min card niliyochonga nikiweka kwy simu nyingine inafanya kazi km kawaida. Wadau naombeni msaada nini cha kufanya
 
This PROBLEM is likely the cause of a hardware problem HTC has had in years prior. there is a notorious problem with some of the antenna springs weakening and allowing the antenna to slighty dislodge and lose signal. for the One X, i think IT was a bigger problem on earlier phone mode runs than it was on later ones, but I can't specifically recall what i read about it previously.
Go to Settings > About > Phone Identity and check your device serial number.
If it starts with HT24 or HT25, you may have one of the earlier models and be more likely to see this type of problem.
If it's an HT26 or later, than it may be more likely that your issue is rooted in something else.
****check and then get back.****
nb:am having a few HTCOne X from AT&t brought to me with this same prblm...thats why i have noted it.🙂)


 
Mjomba umeagiza UK kwa $99 inazingua saivi nini?manake nna idea hiyooo
 
Thnx bsOd nacheck now nitarudi na feedback soon
 
Ni kweli hii nimeagiza mkuu meeku89 na ni kitu mpya kabisa
 
Daaa huwa zinazingua kimtindo ila nkipata news kuhusiana na hilo ntakupa habari
 
Back
Top Bottom