BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,032
- Thread starter
- #21
Wakuu nmepata waya uo wa mita 1 og kwa 10k tu sahv naenjoy kama mnavyoona hapo
Flash haitaji umeme mwingi. Fuata ushauri wa huyo alisema kuhusu hiyo cable ya double
Mkuu umepata wapi? Na mm nina shida kama yko.Wakuu nmepata waya uo wa mita 1 og kwa 10k tu sahv naenjoy kama mnavyoona hapoView attachment 1666546
Mita moja kwa tv zetu za ukutani mbona bado ni risk kwa exteno mkuu, angalau angala mita 3Nmepata aseee waya kabisa wa external 1m