inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
Huwezi kupata kamwe maana mwanaume hawezi kujisifia eti ana figure bomba na sura makini, bora ungesema kuwa mimi ninajishughulisha na kazi ABC au mimi ni mwajiliwa kampuni flani na hali yangu si mbaya kifedha.Lakini kwa habari zako za kutangaza uzuri labda kama unataka kuliwa kiboga sawa
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
soujer boy!!!! pamoja na hizo sifa me nahisi we mbabe,, malaya;; na hujui ku care wasichana..... au labda una hela na huna kipaji cha kuhonga?????
kama una hizo tabia acha na utapata mke.
Hahaaa, dunia imegoma kuzunguka sasa inapinduka pinduka tuu, yaani bila aibu mwanaume ujisifie figa, sijui sura khaaaa!!!! Uko serious kweli? Muda si mrefu utapata pm na marinda yataondoka. AIBU.
ri afande ra nchi rina ria ria jf kuwa harina demu....hii ni aibu kwa soja mkamirifu kama wewe (a.k.a riacha usirishike mpaka riteme renyewe) we unajua mapenzi ni kugogpbeka tu