naomba nifahamishe kama ni kweli boss.., maana nna manzi yangu kila ikifika usiku nnapota kumcall simu inakuwa busy and then kesho ananiambia nawekaga busy usiku simu yangu sasa hapo nashindwa kuelewa.inawezekana mkuu
Dah pole sana aisee,dalili ya mvua ni mawingunaomba nifahamishe kama ni kweli boss.., maana nna manzi yangu kila ikifika usiku nnapota kumcall simu inakuwa busy and then kesho ananiambia nawekaga busy usiku simu yangu sasa hapo nashindwa kuelewa.
kwa hiyo hapo inaweza kuwa changa la macho mkuu auUkimchunguza kuku hutamla mkuu simu hujiulizi kwanini usiku tyu ndio inakuwa bize
Kwa maana hiyo anaweka hata we mpenzi wake anashindwa kupokea sim yako..
Sanuka hapo kuna double standard jombaaa
madeni yap tena mkuuLipa madeni wewe
jakuelewa point yako hasa nnEpuka zinaaaa
kiboro dindaaaaa
Mzee wanakumegea dem wako huyonaomba nifahamishe kama ni kweli boss.., maana nna manzi yangu kila ikifika usiku nnapota kumcall simu inakuwa busy and then kesho ananiambia nawekaga busy usiku simu yangu sasa hapo nashindwa kuelewa.
Ujue kuna wengine anawaweka busy mchananaomba nifahamishe kama ni kweli boss.., maana nna manzi yangu kila ikifika usiku nnapota kumcall simu inakuwa busy and then kesho ananiambia nawekaga busy usiku simu yangu sasa hapo nashindwa kuelewa.