Wadau naomba mnijuze haya yafuatayo kuhusu namalenga.
- nauli kutoka shuleni hadi masasi mjini ambako ndiko makao makuu ya Masasi DC
- kama shule ni ya kuwa au bweni.
- kama shle ina advance au laa!
- uwepo wa barabara ya kupitika au laa!
- uwepo wa umeme